{"id":35784,"date":"2020-02-26T04:23:37","date_gmt":"2020-02-26T03:23:37","guid":{"rendered":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/uinjilishaji\/"},"modified":"2023-12-05T07:19:10","modified_gmt":"2023-12-05T06:19:10","slug":"uinjilishaji","status":"publish","type":"page","link":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/uinjilishaji\/","title":{"rendered":"Uinjilishaji"},"content":{"rendered":"\n<h1 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Utume wa kuinjilisha<\/h1>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<h5 class=\"has-text-align-center has-text-color wp-block-heading\" style=\"color:#0037a3\"><strong>\u201cAmri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane. Kama mkipendana ninyi kwa ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.\u201d<\/strong> (Yohana 13, 34s).<\/h5>\n\n<p>Roho Mtakatifu ameinua ndani&#013;\nya Njia ya Neokatekumenato aina mbalimbali za uinjilishaji, za utume&#013;\nwa kitume na za kuwekwa wakfu, ambazo zimethibitishwa na kusukumwa na&#013;\nMapapa mbalimbali wa Kanisa.<\/p>\n\n<div style=\"height:30px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h1 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Karama<\/h1>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"parokia\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Parokia jumuiya ya jumuiya<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Baada ya tangazo la&#013;\nKerigma jumuiya zinaibuka katika parokia, ndugu wanaoishi &#013;\nuingizwaji huu kwa ukristo. Hatua kwa hatua zinaanza kuonekana kati yao&#013;\ndalili za Imani, upendo kwa adui. Muujiza huu wa kiroho utawaita&#013;\nwalio mbali kukutana na Yesu Kristo. Na jumuiya ya kikristo&#013;\nitabeba Upendo wa Mungu kwa watu wote.<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-circle-mask\"><figure class=\"alignleft size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"300\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Parroquia_Comunidad_de_Comunidades.png\" alt=\"Parokia Jumuiya ya Jumuiya\" class=\"wp-image-347\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Parroquia_Comunidad_de_Comunidades.png 300w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Parroquia_Comunidad_de_Comunidades-150x150.png 150w\" sizes=\"auto, (max-width: 300px) 100vw, 300px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>&#8220;Ninyi&#013;\n  Hamfanyi tu utume kwa sababu ya jinsi mlivyo, katika msukumo wa&#013;\nkugundua na kurejesha thamani za kikristo za kweli, zilizo halisi,&#013;\nzenye nguvu, ambazo vinginevyo zingeweza karibu kuyeyuka katika maisha&#013;\nya kawaida. Hapana! Ninyi mnaziweka kwenye ushahidi, mnazifanya zitokeze, na&#013;\n  mnazipatia mng&#8217;ao wa kimaadili ambao ni mfano halisi kwa sababu, hivyo, pamoja na roho hii ya kikristo, mnaishi jumuiya hii ya Neokatekumenato&#8230;<\/p>\n\n<p>Ni furaha gani na tumaini gani mnavyotupatia&#013;\nna uwepo wenu na matendo yenu! Tunajua kwamba ndani ya&#013;\njumuiya zenu mnafanya kazi pamoja ili kuelewa na kustawisha hazina &#013;\nza Ubatizo wenu na matokeo ninyi kuwa mali yake Kristo&#8230;<\/p>\n\n<p>Kuishi na kukuza mwamko huu ni kile ambacho ninyi&#013;\nmnaita aina ya &#8220;baada ya Ubatizo&#8221; ambayo itaweza kufanya upya katika&#013;\njumuiya za kikristo za leo matokeo ya ukomavu na ya kina&#013;\nambayo yalitendeka katika Kanisa la mwanzo tangu kipindi cha&#013;\nmaandalizi ya Ubatizo&#8230;<\/p>\n\n<p>Ninyi mnafanya baadaye: kabla au baada,&#013;\nNaweza kusema, si muhimu. Swala ni kwamba ninyi mnatazamia uhalisi, utimilifu, uwiano sawia, unyofu wa maisha ya Kikristo\u00bb.<\/p>\n\n<p class=\"has-text-align-right\">Mt. Paulo wa Sita, Mei 8 1974<\/p>\n\n<p>\u00abUzoefu na kanuni za Kanisa vimeingiza&#013;\ndesturi takatifu ya kutoa ubatizo kwa watoto wachanga, zikiruhusu&#013;\nkwamba ibada ya ubatizo ifupishe kiliturjia yale maandalizi ambayo, katika&#013;\nvipindi vya kwanza, wakati jamii ilikuwa ya kipagani sana,&#013;\nyalifanyika kabla ya ubatizo, na yaliyoitwa katekumenato. Lakini katika&#013;\nmazingira ya kijamii ya leo namna hii inahitaji kuunganishwa na &#013;\nmaelekezo, na uanzishwaji unaoendana na mtindo wa maisha unaofaa kwa mkristo,&#013;\nukifuata ubatizo, yaani, na msaada wa kidini, &#013;\nna mafunzo ya vitendo kwa uaminifu wa kikristo, na kuingizwa&#013;\nkwa nguvu katika jumuiya ya waumini, ambayo ni Kanisa&#8230;<\/p>\n\n<p>Tazameni hapa kuzaliwa upya kwa jina la &#8220;katekumenato&#8221;,&#013;\nambayo hakika haitaki kubatilisha au kupunguza umuhimu wa&#013;\nmwenendo uliopo sasa wa kubatiza, bali inataka kuutekeleza kwa mbinu&#013;\nya uinjilishaji wa hatua kwa hatua na wa kina, unaokumbusha na kufanya upya kwa namna fulani ile katekumenato  ya nyakati nyingine. Aliyebatizwa anahitaji&#013;\nkuelewa, kufikiri upya, kuthamini, ili kuunga mkono utajiri usiopimika wa&#013;\nsakramenti iliyopokelewa.&#013;\n<\/p>\n\n<p class=\"has-text-align-right\">Mt. Paulo wa Sita, Januari 12 1977<\/p>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"wasafiri\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Makatekista-wasafiri<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Moja ya&#013;\nkarama kuu au matunda ya Njia ni ile ya&#013;\nmakatekista-wasafiri. Kupitia wao imeenea katika mabara &#013;\nyote matano. Kikundi cha wawajibikaji wa kimataifa cha Njia kinaunda&#013;\nvikundi vya makatekista wasafiri &#8211; ambavyo kwa kawaida huundwa&#013;\nna mpresbiteri, wanandoa na mseja (mmoja wa kiume); au mpresbiteri, mseja mmoja wa kiume na mmoja wa kike\u2013, ili kutumwa kwa mataifa kuanzisha na kuongoza&#013;\nutekelezaji wa Njia ya Neokatekumenato.<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignleft size-full is-resized\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/camino-neocatecumenal-kiko-arguello-carmen-hernandez-mario-pezzi-korazin.jpg\" alt=\"Kiko Arg&#xFC;ello, Carmen Hern&#xE1;ndez na Pd. Mario Pezzi huko Korazini\" class=\"wp-image-23279\" width=\"440\" height=\"338\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/camino-neocatecumenal-kiko-arguello-carmen-hernandez-mario-pezzi-korazin.jpg 879w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/camino-neocatecumenal-kiko-arguello-carmen-hernandez-mario-pezzi-korazin-300x231.jpg 300w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/camino-neocatecumenal-kiko-arguello-carmen-hernandez-mario-pezzi-korazin-768x591.jpg 768w\" sizes=\"auto, (max-width: 440px) 100vw, 440px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Makatekista&#013;\nwasafiri wanajibu hivi kwa maombi ya majimbo ya mbali: &#013;\nkikundi cha kimataifa kinawaalika ndugu wa Njia&#013;\nkujitolea ili kupelekwa popote duniani, na&#013;\nwale wanaosikia wameitwa na Mungu wanajitoa kwa hiari.<\/p>\n\n<p>Wasafiri hupokea ombi hili ndani&#013;\nya kuishi pamoja, na ndani yao kikundi cha wawajibikaji wa kimataifa cha Njia, au kingine kinachoteuliwa nao, kinathibitisha utayari na kuratibu shughuli za&#013;\nwasafiri, kwa mwendo wa &#8220;kubana na kuchia misuli ya moyo&#8221;, kwa kufuata mfano&#013;\nwa Bwana, aliyewatuma mitume wake kwenye utume, kisha akawakusanya&#013;\nmahali pa faragha, kusikiliza mambo ya ajabu ambayo Roho Mtakatifu&#013;\nalifanya nao.<\/p>\n\n<p>Katekista msafiri anaendelea kuwa sehemu ya&#013;\nparokia na jumuiya yake, ambapo hurudi mara kwa mara kushiriki&#013;\nkatika Njia ya jumuiya hiyo. Zaidi ya hayo, katekista msafiri anakubali kuishi&#013;\nutume wake katika hali habaishi, akiwa huru kuukatiza wakati wowote,&#013;\nakimfahamisha <em>Askofu wa pale alipo<\/em> na kikundi cha wawajibikaji wa Njia.<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"wamisionari\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Karama za kimisionari na maisha ya wakfu<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Katika&#013;\nnamna mbalimbali za uinjilishaji zinazoendeshwa na Njia, unahitajika uwepo wa wanaume na wanawake waseja wenye wito wa kimisionari ili kuunga mkono, kusindikiza na kuinjilisha katika <em>missio ad gentes<\/em> na vikundi vya makatekista wasafiri, kama vile katika seminari na ndani ya parokia. Kwa sababu hiyo, katika kuishi pamoja za kimataifa wanatumwa wanaume na wanawake ambao, wakiishi njia hii ya imani, wanasikia wito wa Mungu wa kutoa maisha yao kwa Uinjilishaji Mpya.<\/p>\n\n<p>Kwa kuongezea, tangu mwanzo wa Njia &#013;\nya Neokatekumenato, mamia ya wasichana waliokuwa wakianza uingizwaji huu&#013;\nwa kikristo wamesikia wito kwa maisha ya kuwekwa wakfu na wameingia katika&#013;\nmonasteri mbalimbali duniani kote.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"seminari\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Seminari za kijimbo za kimisionari za Redemptoris Mater<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Tarehe 26&#013;\nAgosti 1986, Yohane Paulo II alikaribisha kwa shauku pendekezo la&#013;\nKiko, Carmen na Padre Mario la kuanzisha huko Roma Seminari &#013;\nya Kijimbo ya Kimisionari kwa ajili ya malezi ya wapresbiteri kwa ajili ya &#013;\nUinjilishaji Mpya na akamteua Kardinali Ugo Poletti, Askofu Msaidizi wa Baba &#013;\nMtakatifu, aisimike.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Tangu&#013;\n  hapo seminari 122 zimesimikwa, ambazo zina sifa 3 za msingi: ni za kijimbo, za kimisionari na za kimataifa. Ndani ya malezi ya kitaaluma, ya kibinadamu na ya kiroho ya seminari hizi kipo kipindi cha uinjilishaji wa kimisionari, na wakiisha pata daraja la upadre -baada ya miaka michache ya kufanya kazi katika parokia-, &#013;\naskofu wa jimbo anawaruhusu kuondoka kwenda kuhudumu katika &#013;\nnamna mbalimbali za utume zinazotekelezwa na Njia ya Neokatekumenato, kulingana na yale ambayo yameidhinishwa na kupitishwa na Vatikano katika Statuta.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Seminari inasimikwa na askofu&#013;\nwa jimbo na inawakaribisha vijana ambao wamegundua wito kupitia&#013;\nsafari ya neokatekumenato ya uingizwaji wa Kikristo. Katika seminari, &#013;\nmalezi ya kikristo kupitia Njia ya Neokatekumenato ndani ya jumuiya&#013;\nni kipengele maalum na cha msingi cha safari ya malezi.<\/p>\n\n<p>Katika miaka iliyofuata, maaskofu wengi wamefuata mfano wa Baba Mtakatifu kwa kufungua seminari nyingine.<\/p>\n\n<p>Tangu 1990, mwaka wa ibada za kwanza &#013;\nza kutoa daraja takatifu, hadi leo, wapresbiteri waliopata daraja katika&#013;\nSeminari za Redemptoris Mater ni takriban 2,380. Hivi sasa, kuna vijana 2,300&#013;\nwanaojiandaa kupokea daraja takatifu.&#013;\n<\/p>\n\n<div align=\"center\"><\/div>\r\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"familia\"><\/a>\r\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Familia katika utume<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Mwaka 1985&#013;\nKiko, Carmen na Padre Mario walimwonyesha Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili &#013;\nmradi &#8211; uliopokelewa kwa shauku kubwa kwa upande wake &#8211; ili&#013;\nkuinjilisha tena Ulaya ya kaskazini kwa kutuma familia za kimisionari&#013;\nzinazosindikizwa na mpresbiteri. Mnamo 1986, Papa alituma familia 3 za kwanza: &#013;\nmoja kaskazini mwa Finland, nyingine Hamburg (Ujerumani) na&#013;\nya tatu Strasbourg (Ufaransa). Mnamo 1987 familia 3 za kwanza zilitumwa&#013;\nkwa vile vinavyoitwa &#8220;vijiji vijana &#8221; vya Amerika ya Kusini.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Mnamo Desemba 30, 1988, Yohane Paulo II&#013;\naliwasili kwa helikopta katika Senta ya Kimataifa ya Njia&#013;\nya Neokatekumento huko Porto San Giorgio kutuma familia 72 popote&#013;\nduniani. \u201cKanisa Takatifu la Mungu, wewe huwezi kufanya utume wako, &#013;\nhuwezi kutimiza utume wako duniani, ikiwa si kwa njia ya familia na&#013;\nutume wake.&#8221; \u201cFamilia Takatifu si kitu kingine isipokuwa hiki: familia&#013;\nya kibinadamu katika utume wa kimungu. Familia katika utume, Utatu Mtakatifu &#013;\nkatika utume. Mnapaswa kusaidia familia, mnapaswa kuilinda dhidi ya uharibifu wowote,&#8221; alisema siku hiyo Mtakatifu Yohane Paulo II.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Tangu wakati huo, karibu familia 1,800 &#013;\nzimetumwa na Mapapa wa mwisho kwa mabara yote matano&#013;\nkuinjilisha kwa ushuhuda wao wa maisha ya kikristo kwa sura ya Familia&#013;\nTakatifu ya Nazareti na kupitia kazi mbalimbali za kimisionari.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Ni familia ambazo, baada ya miaka mingi katika &#013;\nsafari hii ya malezi baada ya ubatizo, ambapo nyingi zimejengwa upya,&#013;\nwanashukuru kwa kazi ya wokovu ambayo Mungu amefanya ndani yao.&#013;\nFamilia hizi, wengi wao wakiwa na watoto kadhaa, wanajitolea kwenda&#013;\nkwenye utume wakiacha raha ya maeneo yao ya asili. Wanaenda kwenye utume&#013;\npopote ambapo maaskofu wanaona haja ya ushuhuda wa familia&#013;\nya kikristo, wakiishi na kukita mizizi katika makanisa mahalia na kutekeleza&#013;\nkazi mbalimbali za uinjilishaji, wakishiriki katika upandikizaji wa&#013;\njumuiya mpya za kikristo.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Katika Statuta za Njia, imeelekezwa &#013;\nkwamba utekelezaji wa Njia ya Neokatekumenato unaweza kusaidiwa na&#013;\nfamilia zilizo katika utume ambazo, kwa ombi la Maaskofu, zinaenda kuishi&#013;\nkatika maeneo yaliyoacha ukristo wao au ambapo \u201cimplantatio&#013;\necclesiae\u201d  (&#8220;kanisa kupandikizwa&#8221;) inahitajika (Kifungu cha 33 [Familia katika utume], Statuta za Njia ya Neokatekumenato, Mei 11, 2008)&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"adgentes\"><\/a>\r\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Missio ad gentes (&#8220;Utume kwa mataifa&#8221;)<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Mnamo mwaka wa 2006, Benedikto XVI alizindua aina hii mpya ya uinjilishaji kwa kutuma <em>missio ad gentes<\/em> 7 za kwanza.&#013;\nKila moja imeundwa na mpresbiteri, akisindikizwa na familia 4 ama 5 zilizo na watoto kadhaa. Kwa ombi la askofu, familia inapokea&#013;\nwajibu wa kuinjilisha katika maeneo yaliyopoteza ukristo au ya kipagani,&#013;\npamoja na utume wa kuonyesha jumuiya ya kikristo ambamo &#8220;wawe kitu kimoja ili ulimwengu upate kusadiki.\u201d<\/p>\n\n<p>Yohane Paulo II, kwenye Kongamano la VI la&#013;\nMaaskofu wa Ulaya la 1985, alielekeza kwamba ili kukabiliana na uduniaisho&#013;\nwa Ulaya ilikuwa ni lazima kurejea mfano wa kitume wa kwanza.&#013;\n<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignleft size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Mision_Plazas_Hermanos_Evangelizando.jpg\" alt=\"Utume Nyanjani Uinjilishaji\" class=\"wp-image-417\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Mision_Plazas_Hermanos_Evangelizando.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Mision_Plazas_Hermanos_Evangelizando-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Hivyo, <em>missio ad gentes<\/em> hizi, kwa kuiga <em>domus ecclesiae<\/em> (&#8220;nyumba-kanisa&#8221;), wanakutana majumbani kati ya wasiobatizwa na waliotengwa.<\/p>\n\n<p>Miaka kumi na miwili baada ya kutuma kwa mara ya kwanza&#013;\nmatokeo yake ni kwamba wengi waliotengwa na wapagani ambao hawakuwahi kuingia&#013;\nkanisani wanajikaribisha kwenye jumuiya hizi za kikristo na kuanza &#013;\nsafari ya wongofu ama ya kurudi kwenye imani.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Jumuiya hizi \u2013 ambazo hazijatokea kutoka &#013;\neneo wakfu, bali zinaishi katikati ya ulimwengu-  zinageuka&#013;\nkuwa&#8221;uwanda wa Mataifa ambapo watu wanaweza kumkaribia&#013;\nMungu bila kumjua\u201d, kama Benedikto XVI alivyoeleza katika hotuba yake kwa Watendaji wa Roma mnamo 2009.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Kipengele cha ajabu cha &#013;\nmaang&#8217;amuzi haya ni matunda ya ushirika na umoja yanayotokea ndani ya&#013;\nfamilia yenyewe, kati ya wazazi na watoto.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Mnamo tarehe 18 Machi 2016, Papa Fransisko alituma familia 250 akiunda <em>missio ad gentes<\/em> 50 mpya kwa mabara matano. Wakati wa mkutano huu, Fransisko mwenyewe alieleza mtindo huu wa kimisionari unamaanisha nini: &#8220;<em>missio ad gentes<\/em>&#013;\nzinaundwa kwa ombi la maaskofu wa majimbo wanapokusudiwa&#013;\nna zinaundwa na familia 4 hadi 5 &#8211; wengi wao wakiwa na&#013;\nzaidi ya watoto wanne\u2013, mpresbiteri, kijana na dada wawili. Wote wanaunda jumuiya ambayo ina utume wa kutoa ishara za&#013;\nimani zinazowavutia watu kwa uzuri wa Injili\u201d, alieleza.<\/p>\n\n<p>Papa Benedikto XVI, kutoka 2006 hadi 2012, alituma <em>missio ad gentes<\/em> 58 na Papa Fransisko ametuma 128.<\/p>\n\n<p>Mei 5, 2018 kwenye mkutano&#013;\nwa kimataifa wakati wa kuadhimisha miaka 50 ya kuzaliwa kwa&#013;\njumuiya ya kwanza ya Njia huko Roma, iliyoadhimishwa huko Tor Vergata (Roma), Papa Fransisko alituma <em>missio ad gentes<\/em> 34 mpya.<\/p>\n\n<p>Idadi ya familia kwenye Njia zilizo&#013;\nkatika utume kwa uinjilishaji mpya ni 1,668, zenye watoto takriban 6,000,&#013;\nkatika nchi 108 kwenye mabara 5, tukihesabu pia <em>missio ad gentes<\/em> 216&#013;\nkatika mataifa 62.<\/p>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"jumuiyautume\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Jumuiya katika utume<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Katika&#013;\nmkutano na Benedikto XVI katika Basilika la Mtakatifu Petro mnamo Januari 10&#013;\n2009, kwa kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 40 ya kuzaliwa jumuiya&#013;\nya kwanza ya neokatekumenato huko Roma, zilitumwa na Baba Mtakatifu &#013;\n Jumuiya 15 za kwanza kwa maeneo yaliyo nje kidogo ya mji wa Roma.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Jumuiya hizi zilikuwa tayari&#013;\nkuacha parokia yao &#8211; ambapo tayari walikuwa wamekamilisha safari&#013;\nya neokatekumenato &#8211; ili kwenda kwenye utume kwa maeneo magumu ya nje ya mji kupitia mwaliko wa maparoko. Maeneo yaliyoharibiwa, yenye ukatili mwingi,&#013;\nmadawa ya kulevya, familia zilizovunjika, wahamiaji waliowasili hivi karibuni&#8230;&#013;\n<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignright size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Benedicto_XVI_Kiko_Arguello_envio_misiones_ad_gentes_vaticano.jpg\" alt=\"Kutumwa kwa Missio ad Gentes kutoka Basilika la Mt. Petro\" class=\"wp-image-202\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Benedicto_XVI_Kiko_Arguello_envio_misiones_ad_gentes_vaticano.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Benedicto_XVI_Kiko_Arguello_envio_misiones_ad_gentes_vaticano-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Kiko,&#013;\n  akitambulisha utume huu mpya, alisema kwamba &#8220;Njia inaisha&#013;\nkwa kutangaza Injili ulimwenguni kote. &#8220;Moja ya mambo mapya zaidi&#013;\n  ni kwamba jumuiya nzima inaenda kwenye utume. Siyo baadhi ya ndugu, jumuiya&#013;\nnzima inaenda. Ni neema kubwa sana na ni kitu cha ajabu kwamba Mungu &#013;\nawatume kwa utume huu. Ni ajabu kuweza kuondoka, kwamba Bwana akupatie &#013;\nutume; kufa katika utume, kuzeeka katika utume.&#8221;&#013;\n<\/p>\n\n<p>Kwa namna sawia, Papa Fransisko katika barua yake ya <em>Evangelii Gaudium<\/em> anazungumza juu ya Kanisa &#8220;linalotoka nje&#8221; na kuelezea hitaji la kuinjilisha maeneo ya &#8220;nje&#8221;, kijiografia na kimaisha: &#8220;<\/p>\n\n<p>Pia jimbo la Madrid, ambapo&#013;\nNjia ilizaliwa na ipo katika parokia 45 zenye jumuiya 221,&#013;\nyako maang&#8217;amuzi haya. Mwaka 2011, Askofu Mkuu wa Madrid wakati huo, Kardinali Rouco Varela alituma jumuiya 10 za kwanza kwenye utume.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Askofu Mkuu wa sasa wa mji mkuu wa Hispania, Kardinali Carlos Osoro Sierra, katika mkutano wa Machi 22, 2015, alituma jumuiya 8 mpya. Huko Madrid, kuna jumla ya <em>jumuiya 18 katika utume.<\/em><\/p>\n\n<p>Tarehe 5 Mei 2018, Papa Fransisko,&#013;\n  katika kuadhimisha miaka 50 ya kuzaliwa kwa jumuiya ya kwanza&#013;\nya Njia huko Roma, katika mkutano mkubwa huko Tor Vergata (Roma) alituma &#013;\njumuiya 25 kwenye utume kwa parokia mbalimbali za Roma ili kutegemeza na&#013;\nkuimarisha maisha ya kikristo ya jumuiya za parokia zenye magumu zaidi.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Leo, katika &#8216;nendeni&#8217; hii ya Yesu, yamo&#013;\nmazingira na changamoto mpya za utume&#013;\nwa kuinjilisha wa Kanisa, na sote tumeitwa kwa &#8220;mtoko&#8221; huu mpya&#013;\nwa kimisionari. Kila mkristo na kila jumuiya itapambanua ipi ndiyo njia ambayo Bwana anaomba kwake, lakini sote tunaalikwa kukubali&#013;\nwito huu: kutoka katika raha yako na kuthubutu kuyafikia maeneo&#013;\nyote ya mbali yanayohitaji nuru ya Injili\u201d.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"hatua\"><\/a>\n\n<h1 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Hatua za njia<\/h1>\n\n<figure class=\"wp-block-image size-full is-style-default\"><img decoding=\"async\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2023\/11\/Njia-Ya-Neokatekumenato-Hatua-za-njia-Tovuti-rasmi-Unyenyekevu-Urahisi-na-Sifa-sw.jpg\" alt=\"Hatua za Njia ya Neokatekumenato\" class=\"wp-image-28005\" \/><\/figure>\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator is-style-dots\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"uzuri\"><\/a>\n\n<h1 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Uzuri mpya<\/h1>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"picha\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Picha na madirisha<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"aligncenter size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Vidrieras_Catedral_Almudena_Madrid.png\" alt=\"Madirisha ya vioo ya Kanisa Kuu la Almudena Madrid\" class=\"wp-image-362\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Vidrieras_Catedral_Almudena_Madrid.png 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Vidrieras_Catedral_Almudena_Madrid-300x200.png 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Michoro katika Njia ya Neokatekumenato<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<p>Kiko Arg\u00fcello alisomea Sanaa katika Chuo cha&#013;\nMt. Fernando cha Madrid na mwaka 1959 alipokea Tuzo ya Kitaifa ya Pekee&#013;\n  ya Uchoraji. Mnamo 1960, pamoja na mchongaji sanaa Coomontes na mchoraji wa vioo&#013;\nMu\u00f1oz de Pablos, alianzisha kikundi cha utafiti na maendeleo ya Sanaa&#013;\nWakfu &#8220;Gremio 62&#8221;. Alifanya maonyesho huko Madrid (Maktaba&#013;\nya Taifa), na kuiwakilisha Hispania, akiteuliwa na Wizara ya&#013;\nUtamaduni, katika Maonyesho ya Sanaa Takatifu Ulimwenguni huko Royan (Ufaransa) mwaka wa 1960. Huko Uholanzi, alionyesha baadhi ya kazi zake (Nyumba ya sanaa&#013;\n&#8220;Sura mpya&#8221;).&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Taji la Kifumbo<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignleft size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"266\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Pinturas_Catedral_Almudena_Madrid_Kiko_Arguello.jpg\" alt=\"Michoro Kanisa Kuu la Almudena Madrid\" class=\"wp-image-352\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Pinturas_Catedral_Almudena_Madrid_Kiko_Arguello.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Pinturas_Catedral_Almudena_Madrid_Kiko_Arguello-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>\n&#8220;Uzuri &#013;\n  mpya peke yake utaokoa Kanisa\u00bb. Picha za &#8220;taji&#013;\nla kifumbo&#8221; hili zinataka kupenya mpaka ndani kabisa ya roho ya mwumini azitazamazo. Zimekusudiwa kumsaidia mwanadamu kumuinukia Mungu.&#013;\nPicha hizi zinatenda juu rohoni mwa Mkristo kama kwenye&#013;\nKugeuka Sura, ambapo mitume waliona mng&#8217;ao wa mwanga&#013;\n  wa kimungu juu ya Mlima Tabori. Kama yeye, wanasikiliza Neno la&#013;\nMungu, na zaidi ya yote katika liturjia, picha hizi, kwa njia ya moja kwa moja,&#013;\n  hapo hapo na kwa hisia zaidi, zinataka kuwasaidia waumini kugeuka sura&#013;\nkiroho. Mtakatifu Yohane wa Dameski, ambaye alitetea michoro hii  dhidi ya nguvu ya &#8220;iconoclasm&#8221; (mkondo uliokataza na kuharibu picha za kidini) &#013;\nna ambaye Papa Leo XIII alimtangaza kuwa Mwalimu wa Kanisa Zima,&#013;\nalisema: \u201cNimeona sura ya kibinadamu ya Mungu na nafsi yangu &#013;\nimeokolewa&#8221;&#013;\n<\/p>\n\n<p>Sura Takatifu ya Kristo iwasaidie ninyi kuwa mashahidi wa upendo wake.<\/p>\n\n<p class=\"has-text-align-right\">Kiko Arg\u00fcello.<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"usanifumajengo\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Usanifu Majengo<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Usanifu Majengo katika Njia ya Neokatekumenato<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignleft size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Capilla_Santisimo_Domus_Galilaeae.jpg\" alt=\"Kanisa dogo la Sakramenti Takatifu Domus Galilaeae\" class=\"wp-image-372\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Capilla_Santisimo_Domus_Galilaeae.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Capilla_Santisimo_Domus_Galilaeae-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>  Katika &#013;\nhistoria, Kanisa daima limekuwa na kifungo hiki&#013;\nkati ya uzuri na uinjilishaji, nalo Kanisa limekuwa mjumbe mkubwa zaidi&#013;\nwa uzuri. Kila kitu kinaakisi uzuri wa Kristo na uzuri wa&#013;\njumuiya na wa ushirika wa kindugu. Uinjilishaji wa mataifa &#013;\n ya Waslavi (&#8220;Slavonic peoples&#8221;) ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa njia ya uzuri wa liturjia, wa picha na nyimbo. Ni katika miaka hii ya mwisho tu ambapo hata &#013;\nndani ya Kanisa maono ya kitendaji yanaonekana kutawala ambayo yanapunguza&#013;\nmahali ambapo jumuiya inaishi na kukutana kuwa tu vyumba vya mikutano&#013;\nmkutano.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Walakini, hasa leo, zaidi kuliko hapo awali&#013;\nni lazima na ya dharura kwamba miundo ya Kanisa ifanywe upya. &#013;\nJibu kwa utandawazi (kijiji cha ulimwengu), kwa jiji kubwa, kwa &#8220;utamaduni mmoja&#8221;, ni &#013;\nparokia ambayo inakuwa &#8220;kijiji cha mbinguni&#8221;: mfano wa kijamii wa kibinadamu zaidi&#013;\nwenye uwezo wa kufungua nafasi kwa ajili ya jamii mpya ya upendo&#013;\nKusanyiko la Ekaristi linalowawezesha waumini kushiriki kwa namna hai, &#013;\nuhalisia wa jumuiya ya jumuiya zenye &#8220;catecumenium&#8221; &#013;\ninayoundwa na kumbi za kupendeza za kiliturjia kwa maadhimisho katika &#013;\njumuiya ndogo.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Katika mabara yote matano inawezekana kukutana na&#013;\nkazi zilizofanywa na Kiko ndani ya uzuri mpya: &#013;\nSeminari za Redemptoris Mater, parokia mpya, &#8220;catecumenium&#8221; (yaani, kumbi kwa &#013;\nmaadhimisho ya jumuiya), nk.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"uchongaji\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Uchongaji sanaa<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Uchongaji sanaa katika Njia ya Neokatekumenato<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignright size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Escultura_Sermon_Montana_Domus_Galilaeae.jpg\" alt=\"Hotuba ya Mlimani - Uchongaji\" class=\"wp-image-382\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Escultura_Sermon_Montana_Domus_Galilaeae.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Escultura_Sermon_Montana_Domus_Galilaeae-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Dostoevsky,&#013;\n  &#8220;Uzuri utaokoa ulimwengu.&#8221; Uzuri, kama mnavyojua, ni&#013;\nsilka ya utu, pamoja na wema na ukweli. Kwa sababu, kama anavyosema&#013;\nMtakatifu Thomaso, uhalisia wote ni mmoja, ni wa kweli, ni halisi. Lakini&#013;\n  mimi ninapenda kuhusisha uzuri na raha. Hisia ya uzuri,&#013;\nurembo, hutupatia raha, hutufanya tusikie hisia. Kwa hiyo Mungu, &#013;\nkwa namna fulani, ameumba maumbile. Aliyeumba maumbile,&#013;\nameyafanya kuwa mazuri ili kutupatia raha.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Raha inahusiana na upendo. na&#013;\ninavutia, kwangu mimi kama mchoraji, niliyesomea sheria za&#013;\nuwiano, kwamba kila kitu katika maumbile kinahusiana na uzuri, na &#013;\nkipo kwa ajili ya uzuri. Si kila kitu ni uzuri, kwa maana fulani, lakini&#013;\nsheria za uwiano zinahusiana katika maada, katika umbo&#8230; Inaamsha shauku,&#013;\n  sayansi inayosoma mahusiano ni hisabati, ndiyo maana katika&#013;\nuwiano kuna mfuatano mzima wa milinganyo ambayo ni ya kihisabati. Tayari&#013;\nkatika sanaa ya Plato alizungumza juu ya jiometria ya uumbaji na ya&#013;\nhisabati. Katika sanaa, iwe katika uchoraji, iwe katika uchongaji, iwe katika &#013;\nmuziki, iwe katika ushairi, kila kitu kiko kwenye uhusiano, mahusiano ambayo yanapatana.&#013;\n<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"alignleft size-large\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Custodia_Santisimo_Domus_Galilaeae.jpg\" alt=\"Tabenakulo ya Domus Galilaeae\" class=\"wp-image-377\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Custodia_Santisimo_Domus_Galilaeae.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Custodia_Santisimo_Domus_Galilaeae-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>  Uhusiano &#013;\nhuu wa kihisabati uliopo katika uwiano, upo vilevile katika&#013;\nwakati, upo katika muziki. Muziki ni muhimu sana kwa sababu &#013;\nunatufundisha uzuri katika mgawanyiko wa muda. Kila nota inatoa thamani ya nota inayofuata katika wakati, katika uchoraji kila kitu, kila mumbile , kila nyenzo,&#013;\nkila mchoro unathamini mwingine. Kwa mfano, simfonia ya nne ya Beethoven,&#013;\ninaanza na &#8220;dissonance&#8221; (nota zisizoendana). Ni ajabu. Kuthamini&#013;\n  muda ndani ya wakati, tuseme kwamba kuna &#8230; Tusiseme juu ya ushairi, neno, &#013;\nuchongaji. Kwa mfano, Henry Moore, mchongaji sanaa mwingereza, amesomea&#013;\nmifupa ya mwanadamu, na ameona kwamba mifupa ya mtu &#8230; Pengo ndani ya mfupa wa paja ni kamilifu. Pengo hilo ni kamilifu kwa ajili ya kazi ya uungaji wa mifupa na  wakati huo huo unapendeza, &#013;\nhadi kiwango cha juu. Kutengeneza tao lenye uzuri,&#013;\nlinalopendeza, ni vigumu sana. Tao la shingo ya sili ni ya ajabu.&#013;\nJinsi wanyama wanavyohusiana, sio kila tao lina uzuri.&#013;\nMoore anachukua mapengo haya, anayasoma na kutengeneza sanamu yenye matao,&#013;\nkwa sababu tao la aina fulani linaendana na uvimbe mwingine&#013;\nwa aina nyingine ili kuleta uzuri, kwa sababu kila kitu kinahusiana.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Tuseme hivi kwamba katika uzuri kuna siri ya kina, ambayo ni upendo.<\/p>\n\n<p>Kiko ametengeneza vifaa vingi kwa ajili ya liturjia:&#013;\nvikombe, sahani, vyetezo, vifuniko vya Biblia, mapambo&#8230;, na pia &#013;\n  sanamu nyingi: Hotuba ya Mlimani, Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili,&#013;\nYesu Kristo msulubiwa, paa nk.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"vitabu\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Vitabu<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Wasifu wa Maisha &#8211; Carmen Hern\u00e1ndez<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a class=\"btn read-more-btn\" href=\"http:\/\/bac-editorial.es\/es\/maior\/1787-carmen-hernandez-notas-biograficas-cartone.html?search_query=carmen+hernandez&amp;results=3\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\"><i class=\"fa fa-gift\"><\/i>\u00a0Kununua<\/a>\r\n\n<div class=\"wp-block-image\"><figure class=\"alignleft size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"193\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/camino-neocatechumenal-notas-biograficas-carmen-hernandez-aquilino-cayuela.png\" alt=\"Carmen Hern&#xE1;ndez. Wasifu ya maisha na Aquilino Cayuela.\" class=\"wp-image-23260\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Katika maelezo haya ya wasifu mtamwona mwanamke wa kipekee, muhimu sana kwa Kanisa, aliyeshikwa upendo na Kristo, na Maandiko na pia na Ekaristi. Alijua wazi kwamba utume ambao Mungu alikuwa amempa ulikuwa kuniunga mkono, kunitetea na kunisahihisha, kwa manufaa ya Njia ya Neokatekumenato.&#013;\n&#013;\nNinamshukuru Mungu kwa ajili ya Carmen ambaye daima ameniambia ukweli. Alikuwa mwanamke wa kina, halisi na huru katika uhusiano wake na kila mtu. Alikuwa na akili sana. Alimpenda Kristo na Kanisa na Papa, zaidi ya yote.&#013;\n&#013;\nTunaamini kwamba Carmen yuko pamoja na Bwana, tayari yuko kwenye sherehe. Maelezo haya ya wasifu si tu kwa ajili ya ndugu wa Njia, bali ni kwa ajili ya Kanisa zima, kumtambulisha mwanamke wa ajabu, ambaye ameishi imani kwa kiwango cha kishujaa. Carmen Hernandez! (Kiko Arguello).<\/p>\n\n<p><strong>Wasifu rasmi wa kwanza wa Carmen Hern\u00e1ndez umechapishwa<\/strong>. Kumbukumbu ya miaka mitano ya kufariki kwake Carmen Hern\u00e1ndez, Julai 19, 2021, inalingana na kuchapishwa kwa wasifu wake rasmi wa kwanza, ambaye mwandishi wake ni profesa na daktari wa Falsafa Aquilino Cayuela na umehaririwa na Maktaba ya <a href=\"http:\/\/bac-editorial.es\/es\/maior\/1787-carmen-hernandez-notas-biograficas-cartone.html?search_query=carmen+hernandez&amp;results=3\" target=\"_blank\" rel=\"noreferrer noopener\">Waandishi wa Kikristo (BAC)<\/a>.<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Kerigma. Katika vibanda pamoja na maskini.<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a class=\"btn read-more-btn\" href=\"https:\/\/www.casadellibro.com\/libro-el-kerigma\/9788493781248\/2050609\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\"><i class=\"fa fa-gift\"><\/i>\u00a0Kununua<\/a>\r\n\n<div class=\"wp-block-image\"><figure class=\"alignleft size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"198\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/Camino-Neocatecumenal-Libro-Kerigma-Kiko-Arguello.png\" alt=\"\" class=\"wp-image-24413\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>\u201cNimetaka&#013;\n  kuandika kitabu hiki kidogo kilichopendekezwa na Kardinali Ca\u00f1izares,&#013;\n  ambaye aliona ni muhimu niseme kitu kuhusu yale ambayo Bwana&#013;\namefanya nasi katika vibanda, pamoja na maskini, na pia kwamba&#013;\nningechapisha kerigma ambayo itaweza kusaidia, hasa kwa upande wa maudhui na&#013;\nwa anthropolojia, kwa ajili ya Sinodi juu ya Uinjilishaji Mpya\u00bb. Kiko&#013;\nArguello.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Kardinali Ca\u00f1izares: \u00abKitabu hiki ni zawadi kweli&#013;\nya Mungu, kinachotuhuisha na kututia moyo katika imani, kinachoondoa &#013;\nhofu na kutujaza ujasiri.&#013;\n<\/p>\n\n<p>Kardinali Sch\u00f6nborn: &#8220;Katika katekesi hii, kwa namna &#013;\nya ajabu, tangazo zima la Injili limefupishwa&#8221;.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Noti 1988-2014<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a class=\"btn read-more-btn\" href=\"https:\/\/www.casadellibro.com\/libro-anotaciones-1988---2014\/9788422019244\/4777302\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\"><i class=\"fa fa-gift\"><\/i>\u00a0Kununua<\/a>\r\n\n<div class=\"wp-block-image\"><figure class=\"alignleft size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"193\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2021\/08\/Camino-Neocatecumenal-Libro-Anotaciones-Kiko-Arguello.png\" alt=\"\" class=\"wp-image-24431\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>&#8220;Tangu &#013;\n  karibu miaka thelathini iliyopita, nimekuwa nikiandika kwenye daftari, &#013;\nmara kwa mara na bila utaratibu, na bila nia iliyodhamiriwa, baadhi ya&#013;\nmawazo, tafakari, kweli, kumbukumbu, fikira, maelezo,&#013;\n  mazungumuzo ya nafsi, maombi, n.k., yaliyoamshwa &#013;\nndani yangu wakati wa utume wa&#013;\nuinjilishaji na wa katekesi ambayo kwayo Bwana ameniita katika&#013;\nKanisa, pamoja na Carmen Hern\u00e1ndez na Pd. Mario Pezzi. Ikiwa&#013;\nnoti hizi zinamsaidia mtu, Mungu na ahimidiwe&#8221;.&#013;\n<\/p>\n\n<p>&#8220;Kitabu hiki kimeundwa na vipande vidogo vya fasihi ambavyo vinaweza &#013;\nkusomwa bila kuunganishwa na kile kilichotangulia au kinachofuata. &#013;\nNi tafakari zilizotokana na tukio, kuishi pamoja au &#013;\nmkutano; kubisha mlango wa roho kwa kutangaza au kujishtaki;&#013;\nkujiuliza au kujiita kwa matumaini ambako&#013;\n  msomaji anajisikia kuhusishwa: mara nyingi ni siri za kuthubutu zinazotoka katika nafsi ya mwandishi; wakati mwingine ni aina ya tenzi au zaburi, dua zenye moto&#013;\nna shukrani za kusisimua kwa Mungu. Kwa maelezo yaliyomo&#013;\nkwenye maandishi mafupi haya inawezekana kwa namna fulani kufuata mkondo&#013;\nwa kihistoria kutoka 1988 hadi 2014. Yanaunganishwa na historia ya imani&#013;\nya mwandishi na ya Njia ya Neokatekumenato, zaidi kuliko uendelezaji wa mada,&#013;\ningawa maudhui mengi ya karama husika yanaonekana hapa na pale. Ni&#013;\nhistoria iliyojaa furaha na mateso; inaruhusu kuona pambano &#013;\nla mwandishi kwa kutekeleza kwa uaminifu agizo lililopokelewa kutoka kwa Mungu\u00bb&#013;\n  (\u2020 Mons. Ricardo Bl\u00e1zquez P\u00e9rez, Kardinali Askofu Mkuu wa Valladolid).&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Shajara za 1979-1981<\/h4>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a class=\"btn read-more-btn\" href=\"https:\/\/www.casadellibro.com\/libro-diarios-1979-1981\/9788422019879\/5645380\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\"><i class=\"fa fa-gift\"><\/i>\u00a0Kununua<\/a>\r\n\n<div class=\"wp-block-image\"><figure class=\"alignleft size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"198\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Libro_Diarios_Carmen_Hernandez.png\" alt=\"Shajara za 1979-1981\" class=\"wp-image-402\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>&#8220;Kunanyesha,&#013;\n  lakini siku inapambazuka tulivu. Yesu, nashangaa. Asante. &#013;\nMateso yameweka huruma moyoni mwangu. Asante Yesu. Amani,&#013;\nfuraha\u2026&#8221;. Carmen Hern\u00e1ndez, Bonde la Walioanguka &#8211; Madrid, Januari 27&#013;\nkutoka 1979.&#013;\n<\/p>\n\n<p>&#8220;Miaka hamsini bila kusimama hata mara moja, safari,&#013;\nuchunguzi, kutembelea jumuiya nyingi huko Madrid, Zamora,&#013;\nBarcelona, Paris, Roma, Florence, Ivrea&#8230; Kusikiliza na kusikiliza kila &#013;\n  ndugu kuhusu maisha yake, mateso yake na historia yake, ikiangazwa &#013;\nkwa nuru ya imani, ya msalaba mtukufu wa Bwana Wetu Yesu. Nafikiri kwamba&#013;\nmna haki ya kuufahamu moyo wake Carmen, upendo wake mkuu &#013;\nkwa Yesu Kristo. Alisema mara daima: &#8220;Yesu wangu, nakupenda, nakupenda. Njoo, njoo, nisaidie\u00bb\u00bb (Kiko Arg\u00fcello).&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:16px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<h4 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Njia ya Neokatekumenato<\/h4>\n\n<div class=\"wp-block-image\"><figure class=\"alignleft size-full\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"215\" height=\"300\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Libro_Palabras_de_los_Papas.png\" alt=\"Njia ya Neokatekumenato - Maneno ya Mapapa\" class=\"wp-image-412\" \/><\/figure><\/div>\n\n<p>Maneno ya Mapapa: Paulo VI, S. Yohane Paulo II, Benedikto XVI na Fransisko.<\/p>\n\n<p>Mitume wa kwanza, katika vikundi vidogo vya&#013;\nuinjilishaji, walizunguka katika masinagogi wakitangaza Habari Njema:&#013;\nMungu amemfufua mtumishi wake Yesu, ambaye sisi tumemkana, &#013;\ntukiomba neema kwa mwuaji; yule aliyekufa bila kuweka&#013;\npingamizi, bila kushindana na uovu, akiwapenda adui zake, asiwahesabie makosa&#013;\n(&#8220;Wasamehe kwa sababu hawajui watendalo&#8221;); yule aliyetoa sadaka mabaya&#013;\nwaliyomfanyia -mateso na msalaba &#8211; kama uthibitisho wa kwamba upendo wake ulikuwa mkubwa kuliko mauti &#013;\nna kwamba hakuacha kuwapenda, hata kama wangechukua&#013;\nuhai wake: Mungu alimfufua kutoka mauti na leo Yeye yu hai, &#013;\nili kusamehe kosa hili na lingine lolote.&#013;\n<\/p>\n\n<p>&#8220;Muda wetu unahitaji kuanza upya&#013;\nujenzi wa Kanisa, karibu kisaikolojia na kichungaji, kana kwamba&#013;\nlingeanza tena, kutoka mwanzo, kwa kusema hivi, kuzaliwa upya\u00bb Paul VI,&#013;\nHotuba ya Jumatano, Agosti 4, 1976.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"nyimbo\"><\/a>\r\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Nyimbo za Njia ya Neokatekumenato<\/h3>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<figure class=\"wp-block-image size-large is-style-default\"><img decoding=\"async\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Libro_Cantos_del_Camino_Resucito.jpg\" alt=\"Kitabu cha Nyimbo Amefufuka\" class=\"wp-image-399\" \/><\/figure>\n<p>Imepitiwa na&#013;\nSenta ya Neokatekumenato ya Jimbo la Madrid. Kitabu cha nyimbo &#013;\nkimehaririwa kwa rangi mbalimbali ili kutofautisha hatua za mihula ya&#013;\nNjia. Waimbaji wanapswa kuchagua nyimbo kulingana na hatua ya &#013;\nNjia ambamo Jumuiya yao imo na kusubiri&#013;\nmakatekista wawapitishie nyimbo katika Kuishi Pamoja mbalimbali na&#013;\nHatua za Njia, kwa njia hii ndugu wanaweza kuelewa&#013;\nmaana ya kila wimbo.&#013;\n<\/p>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<hr class=\"wp-block-separator\" \/>\n\n<div style=\"height:20px\" aria-hidden=\"true\" class=\"wp-block-spacer\"><\/div>\n\n<a name=\"Orkestra\"><\/a>\n\n<h3 class=\"has-text-align-center wp-block-heading\">Orkestra<\/h3>\n\n<p>Orkestra ya Kisimfonia ya Njia ya Neokatekumenato imeanzishwa kama &#013;\nhuduma ya Njia ya Neokatekumenato kwa uinjilishaji kupitia muziki.&#013;\n<\/p>\n\n<div class=\"wp-block-image is-style-default\"><figure class=\"aligncenter size-large\"><a href=\"https:\/\/www.oscnc.org\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" width=\"400\" height=\"267\" src=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Orquesta_Sinfonica.jpg\" alt=\"Orkestra ya Kisinfonia ya Njia ya Neokatekumenato\" class=\"wp-image-422\" srcset=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Orquesta_Sinfonica.jpg 400w, https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/wp-content\/uploads\/2020\/02\/Camino_Neocatecumenal_Orquesta_Sinfonica-300x200.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 400px) 100vw, 400px\" \/><\/a><\/figure><\/div>\n\n<div align=\"center\"><a class=\"btn read-more-btn\" href=\"https:\/\/oscnc.org\/es\/\" target=\"_blank\" rel=\"noopener noreferrer\">\u00a0\u00a0<i class=\"fa fa-external-link\"><\/i>\u00a0\u00a0<\/a><\/div>\r\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Utume wa kuinjilisha \u201cAmri mpya nawapa: Mpendane kama mimi nilivyowapenda ninyi, vivyo hivyo nanyi mpendane. Kama mkipendana ninyi kwa ninyi, kwa njia hii, watu wote watajua kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.\u201d (Yohana 13, 34s). Roho Mtakatifu ameinua ndani&#013; ya Njia ya Neokatekumenato aina mbalimbali za uinjilishaji, za utume&#013; wa kitume na za kuwekwa wakfu, ambazo zimethibitishwa na kusukumwa na&#013; Mapapa mbalimbali wa Kanisa. Karama Parokia jumuiya ya jumuiya Baada ya<\/p>\n<div class=\"read-more\"><a class=\"btn read-more-btn\" href=\"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/uinjilishaji\/\">Soma zaidi<\/a><\/div>\n","protected":false},"author":2,"featured_media":0,"parent":0,"menu_order":0,"comment_status":"closed","ping_status":"closed","template":"","meta":{"footnotes":""},"class_list":["post-35784","page","type-page","status-publish","hentry"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/35784","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/pages"}],"about":[{"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/types\/page"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=35784"}],"version-history":[{"count":5,"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/35784\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":36563,"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/pages\/35784\/revisions\/36563"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/neocatechumenaleiter.org\/sw\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=35784"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}