Sala kwa ajili ya Amani
Kwa kushirikana na mwaliko wa Baba Mtakatifu Leo XIV katika sala ya Malaika wa Bwana ya Dominika iliyopita: Kikundi cha Kimataifa cha Wawajibikaji wa Njia, Kiko, Mario na María Ascensión, wanawaalika ndugu wote wa jumuiya za Njia ya Neokatekumenato, kutolea mfungo wao wa Kwaresima na sala zao kwa ajili ya kuiombea amani katika Ijumaa hii tarehe 13 Machi 2026.