Fuentes de Carbonero el Mayor (Segovia – Hispania)

«WAKATI MAWE YANAONGEA TENA» Oktoba 12 iliyopita (2022), sikukuu ya Bikira wa Pilar (Bikira wa Nguzo)- siku ambayo Hispania inaadhimisha kwa taadhima, kutokea kwake Bikira Mama wa Mungu kwa mtume Santiago na wenzake katika mwaka wa 40 BK kwenye nguzo ya marumaru kwenye ukingo wa mto Ebro, ili kuwatia moyo katika kuendelea na uinjilishaji – huko Fuentes de Carbonero el Mayor, kijiji kidogo karibu na Segovia kilichotelekezwa na watu tangu

Ufunguzi wa Mchakato wa Kutangazwa Mwenye Heri na Kutangazwa Mtakatifu wa Carmen Hernández

Mubashara Kutoka Madrid (Hispania), jumapili tarehe 4 Desemba, 2022,  saa 2 usiku, East Africa Time (GMT +03:00)  Jimbo Kuu la Madrid Kituo cha michezo cha Chuo Kikuu cha Francisco Vitoria. Anaongoza ibada Kard. Carlos Osoro, Askofu Mkuu wa Madrid. Waanzilishi wa Mchakato: Kiko Argüello, P. Mario Pezzi, Ascensión Romero, Taasisi za “Familia ya Nazareti” za Roma na Madrid. Mwombaji: Carlos Metola.