Fuentes de Carbonero el Mayor (Segovia – Hispania)

«WAKATI MAWE YANAONGEA TENA» Oktoba 12 iliyopita (2022), sikukuu ya Bikira wa Pilar (Bikira wa Nguzo)- siku ambayo Hispania inaadhimisha kwa taadhima, kutokea kwake Bikira Mama wa Mungu kwa mtume Santiago na wenzake katika mwaka wa 40 BK kwenye nguzo ya marumaru kwenye ukingo wa mto Ebro, ili kuwatia moyo katika kuendelea na uinjilishaji – huko Fuentes de Carbonero el Mayor, kijiji kidogo karibu na Segovia kilichotelekezwa na watu tangu

Maoni mubashara katika hafla ya ufunguzi wa mchakato ya Kutangazwa kuwa Mwenye Heri kwa Carmen Hernández

Maoni ya Kiko Argüello Jioni njema kwenu nyote, Namsalimu Mha. Carlos Osoro, Kardinali-Askofu Mkuu wa Madrid. Mwadhama Kardinali Antonio Maria Rouco, Askofu Mkuu Mstaafu wa Madrid. Kardinali Paolo Romeo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Palermo. Maaskofu wakuu, maaskofu na maaskofu wasaidizi waliopo hapa. Mama Mkuu wa Wamisionari wa Kristo Yesu na washauri wake. Ni furaha gani unayotupatia uwepo wenu katika hafla hii, madada! Mkuu wa Chuo, Pd. Daniel Sada, Wakuu wa

Ufunguzi wa Mchakato wa Kutangazwa Mwenye Heri na Kutangazwa Mtakatifu wa Carmen Hernández

Mubashara Kutoka Madrid (Hispania), jumapili tarehe 4 Desemba, 2022,  saa 2 usiku, East Africa Time (GMT +03:00)  Jimbo Kuu la Madrid Kituo cha michezo cha Chuo Kikuu cha Francisco Vitoria. Anaongoza ibada Kard. Carlos Osoro, Askofu Mkuu wa Madrid. Waanzilishi wa Mchakato: Kiko Argüello, P. Mario Pezzi, Ascensión Romero, Taasisi za “Familia ya Nazareti” za Roma na Madrid. Mwombaji: Carlos Metola.