Fuentes de Carbonero el Mayor (Segovia – Hispania)

«WAKATI MAWE YANAONGEA TENA» Oktoba 12 iliyopita (2022), sikukuu ya Bikira wa Pilar (Bikira wa Nguzo)- siku ambayo Hispania inaadhimisha kwa taadhima, kutokea kwake Bikira Mama wa Mungu kwa mtume Santiago na wenzake katika mwaka wa 40 BK kwenye nguzo ya marumaru kwenye ukingo wa mto Ebro, ili kuwatia moyo katika kuendelea na uinjilishaji – huko Fuentes de Carbonero el Mayor, kijiji kidogo karibu na Segovia kilichotelekezwa na watu tangu

Hija Barbastro (Huesca – Hispania)

Barbastro na Mashahidi wake Wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, Kanisa Katoliki lilipitia madhulumu makubwa, watu 10,000 waliuawa kwa imani yao. Barbastro, licha ya udogo wake, lilikuwa jimbo lenye mashahidi wengi zaidi katika Hispania nzima, 88% ya wakleri. “Hispania imetoa “Kozi” za Ukristo, Opus Dei, Njia ya Neokatekumenato na chochote unachotaka, unajua kwa nini? , kwa sababu ilitamalaki vita vya wenyewe kwa wenyewe ambapo mapadri zaidi ya

Hija Fuentes de Carbonero el Mayor (Segovia – Hispania)

Kanisa la Fuentes de Carbonero Mahali pa kuhiji na kuadhimisha, ushuhuda wa historia ambayo Mungu hufanya pamoja nasi. «Nilishangaa sana kwamba wakati nyumba zote katika kijiji hicho ziliharibika, kitu pekee kilichobaki kikisimama katika kijiji hicho kilichotelekezwa kilikuwa kanisa, na kanisa ambalo limejaa maskini.Hapa tulisherehekea Mkesha wa Pasaka na ndugu wa vibandani na wale wa jumuiya ya kwanza ya Madrid. Hatukuwa na umeme; Tulijiangazia na nuru ya mshumaa mkubwa wa zamani