María Ascensión Romero, mjumbe wa Idara ya Uinjilishaji

Uteuzi wa Wajumbe wa Idara ya Uinjilishaji. Kitengo cha maswala ya msingi ya uinjilishaji duniani. Papa Fransisko anawakaribisha Kikundi cha Kimataifa cha Njia ya Neokatekumenato tarehe 20 Septemba 2019 Baba Mtakatifu, Papa Fransisko ameteua leo tarehe 25 Aprili 2023 Wajumbe wa Idara ya Uinjilishaji, Kitengo cha Maswali ya Msingi ya Uinjilishaji Duniani, kwa muhula wa miaka 5. Miongoni mwao, pamoja na makardinali kumi kutoka sehemu mbalimbali za dunia, maaskofu wakuu

Hija Barbastro (Huesca – Hispania)

Barbastro na Mashahidi wake Wakati wa Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, Kanisa Katoliki lilipitia madhulumu makubwa, watu 10,000 waliuawa kwa imani yao. Barbastro, licha ya udogo wake, lilikuwa jimbo lenye mashahidi wengi zaidi katika Hispania nzima, 88% ya wakleri. “Hispania imetoa “Kozi” za Ukristo, Opus Dei, Njia ya Neokatekumenato na chochote unachotaka, unajua kwa nini? , kwa sababu ilitamalaki vita vya wenyewe kwa wenyewe ambapo mapadri zaidi ya

Mpito kwa Baba wa Benedict XVI – Ujumbe kutoka Kiko Argüello

UJUMBE WA KIKO KWA JUMUIYA ZA NEOKATEKUMENATO Madrid tarehe 31 Desemba 2022 Kumbukumbu ya Mtakatifu Silvester, Papa Ndugu wapendwa: Tumepokea hivi punde habari za kwenda kwa Baba kwa Papa Mstaafu Benedict XVI. Nakwakumbusha kwamba, tangu alipokuwa Profesa, na baadaye akiwa Mkuu wa Idara ya Mafundisho ya Imani, na kisha akiwa Papa, tumekuwa daima na shukrani ya pekee na upendo kwake; baada ya Papa Mtakatifu Paulo VI na Papa Mtakatifu Yohane

Sala kwa ajili ya Papa Benedict XVI

Madrid, 29 Desemba 2022 Ndugu wapendwa: Papa Fransisko, kwenye hadhira yake kuu Jumatano iliyopita, ameliomba Kanisa zima la Ulimwengu kuinua maombi kwa ajili ya Papa Mstaafu Benedict XVI, ambaye afya yake imedhoofika sana katika siku za hivi karibuni. Sisi ndugu wa Njia ya Neokatekumenato tunajiunga na ombi hili. Ni kiasi gani tunachopaswa kumshukuru Papa Benedict kwa upendo wake kwa ajili ya Njia, uliodhihirishwa katika matukio mengi mbali mbali! Tusali pamoja