Maadhimisho ya Miaka 60 ya Njia ya Neokatekumenato na Tukio la Kufungwa kwa Awamu ya Kijimbo ya Mchakato wa Kumtangaza Carmen Hernández kuwa Mtakatifu

Madrid. Kardinali Cobo Cano ataongoza Misa Takatifu katika maadhimisho ya miaka 60 ya Njia ya Neokatekumenato na Tukio la kufunga awamu ya kijimbo ya mchakato wa kumtangaza Mtumishi wa Mungu Carmen Hernández kuwa mwenye heri. Siku ya Jumamosi, Mei 30, saa 2:00 usiku, Kardinali José Cobo Cano, Askofu Mkuu wa Madrid, ataongoza adhimisho la Ekaristi katika Kathedrali ya Bikira Maria Mama Yetu wa Almudena, ili kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 60

“Tuzo Maalum ya Mwaka” katika gazeti la kidijitali “Religión en Libertad” yatolewa kwa Kiko Argüello

Jumatano tarege 29 Oktoba 2025 (Madrid, Hispania) RATIBA 19:30: Mwanzo wa hafla. Utambulisho kutoka kwa Álex Navajas na Sandra Segimon. Kukabidhi tuzo: 20:45: Mwisho wa hafla na wageni waalikwa kuagwa.

Vijana 120,000 kutoka Njia ya Neokatekumenato huko Roma kwa ajili ya Jubilei na Papa na mkutano wa miito.

Kama hitimisho la Jubilei ya Vijana, iliyotakwa na Baba Mtakatifu Fransisko na kuadhimishwa na Baba Mtakatifu Leo XIV, ili kurejesha matumaini kwa dunia ya leo, vijana 120,000 kutoka jumuiya za Njia ya Neokatekumenato kutoka nchi 109 katika mabara matano wamekusanyika alasiri ya leo, tarehe 4 Agosti 2025, mahali pale pale pa mkutano na Papa, pamoja na Kikundi cha Kimataifa cha Kiko Argüello, María Ascensión na Padre Mario. Katika jukwaa kuu,

Njia ya Neokatekumenato na Jubilei

Ushuhuda wa Kiko Argüello. Pentekoste 2025 Naitwa Kiko Argüello na, pamoja na Mtumishi wa Mungu, Carmen Hernández, sisi ni waanzilishi wa Njia ya Neokatekumenato, utaratibu wa kijimbo wa uingizwaji wa kikristo ambao – kupitia katekesi, Neno la Mungu na sakramenti zinazoshirikiwa katika jumuiya – huwaongoza watu kuishi imani kipevu na ushirika wa kindugu. Mimi ni mchoraji mhispania. Wakati wa miaka yangu ya chuo kikuu, baada ya dhahama kubwa ya kiutu,

Papa Leo XIV ampokea Kiko Argüello, mwanzilishi wa Njia ya Neokatekumenato

Leo asubuhi, tarehe 5 Juni 2025, saa tano asubuhi, katika Maktaba ya Ikulu ya Kitume, Baba Mtakatifu Leo XIV amepokea kwa mara ya kwanza kwa faragha Kikundi cha Kimataifa ya Njia ya Njia ya Neokatekumenato, Kiko Argüello, Padre Mario Pezzi, na María Ascensión Romero. Kiko alimsalimia Papa, akimwambia kwamba alikuwa na furaha sana kwamba Mungu ametupa Papa mmisionari, kwa sababu hii pia ndio utume wa Njia ya Neokatekumenato, katika nchi

Papa anampokea Kiko Argüello, mwanzilishi wa Njia ya Neokatekumenato

Asubuhi ya leo, Jumamosi, tarehe 27 Januari 2024, Papa Fransisko aliwapokea katika hadhira binafsi Kikundi cha Kimataifa cha wajibikaji wa Njia ya Neokatekumenato: mwanzilishi Kiko Argüello, Padre Mario Pezzi na Ascensión Romero. Katika hadhira hiyo, Kikundi walimjulisha Baba Mtakatifu kuhusu Kuishi Pamoja ya Kiulimwengu, ambayo imehitimishwa hivi punde, ikiwa na zaidi ya makatekista wasafiri 1,000, wanaowajibika kwa mataifa 136 ambapo Njia ya Neokatekumenato ipo, na Magombera wa Seminari za Kimisionari