Tamasha kwa ajili ya Adhimisho la Miaka 50 ya Njia ya Neokatekumenato huko Asturias (Hispania)
Ukumbi wa Mwana Mfalme Felipe wa Oviedo Tarehe 8 Disemba 2025, saa mbili usiku (saa ya Afrika Mashariki GMT+3)
Ukumbi wa Mwana Mfalme Felipe wa Oviedo Tarehe 8 Disemba 2025, saa mbili usiku (saa ya Afrika Mashariki GMT+3)
Siku ya Alhamisi, Novemba 13, Padre Mario Pezzi, mpresbiteri wa Kikundi cha Kimataifa cha Njia ya Neokatekumenato, atapokea Shahada ya Udaktari wa Heshima ya Theolojia kutoka Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Mt. Antonio cha Murcia (UCAM). Heshima hiyo itatotelwa ndani ya hafla ya ufunguzi wa mwaka wa masomo wa 2025-2026, mbele ya Monsinyori José Manuel Lorca Planes, Askofu wa Jimbo la Cartagena-Murcia, María Dolores García Mascarell, Rais wa UCAM, Josefina
Jumatano tarege 29 Oktoba 2025 (Madrid, Hispania) RATIBA 19:30: Mwanzo wa hafla. Utambulisho kutoka kwa Álex Navajas na Sandra Segimon. Kukabidhi tuzo: 20:45: Mwisho wa hafla na wageni waalikwa kuagwa.
Mateso ya wasio na hatia na Masiya, 19 Oktoba 2025 Orkestra na Kwaya ya Kisimfonia ya Njia ya Neokatekumenato ilitumbuiza huko Cordoba (Hispania), katika mazingira ya kuvutia ya Kathedrali yake, inayotambulika kwa muundo wake kama Msikiti, mbele ya kanisa lililojaa waamini na makasisi kadhaa. Miongoni mwao, waliohudhuria ni Askofu wao Mkuu, Monsinyori Jesús Fernández, pamoja na Askofu Mstaafu wa jimbo hilohilo, Monsinyori Demetrio Fernandez, na Askofu Mstaafu wa Jimbo la