Ushuhuda wa familia ya Njia ya Neokatekumenato katika Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani.

Roma, 22-26 Juni 2022 Kuanzia tarehe 22 hadi 26 Juni, 2022, Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani uliadhimishwa mjini Roma, ukiandaliwa na Idara kwa Walei, Familia na Uhai pamoja na Jimbo la Roma. Wakiwakilisha Njia ya Neokatekumenato zilikuwepo familia kadhaa zilizotumwa na majimbo tofauti: Massimo na Patrizia Palloni, wenye watoto 12 (wasafiri, katika utume huko Uholanzi), Francesco na Sheila Gennarini, wenye watoto 9 (wasafiri, katika utume nchini Marekani), Dino na