Tamasha katika Kathedrali ya Cordoba, Hispania

Mateso ya wasio na hatia na Masiya, 19 Oktoba 2025 Orkestra na Kwaya ya Kisimfonia ya Njia ya Neokatekumenato ilitumbuiza huko Cordoba (Hispania), katika mazingira ya kuvutia ya Kathedrali yake, inayotambulika kwa muundo wake kama Msikiti, mbele ya kanisa lililojaa waamini na makasisi kadhaa. Miongoni mwao, waliohudhuria ni Askofu wao Mkuu, Monsinyori Jesús Fernández, pamoja na Askofu Mstaafu wa jimbo hilohilo, Monsinyori Demetrio Fernandez, na Askofu Mstaafu wa Jimbo la

Onyesho la kimuziki kwa ajili ya Jubilei ya Familia

Kazi ya Kisinfonia ya Kiko Argüello pamoja na Orkestra ya Njia ya Neokatekumenato, ikiwa imeongozwa na Tomáš Hanus Jubilei 2025 Jumapili, Juni 1, 2025, saa moja jioni, katika Ukumbi wa “Parco della Música Ennio Morricone”, kwenye Ukumbi wa Santa Cecilia, Kiko Argüello awasilisha Kazi yake ya Kisinfonia. Onyesho juu kwa ajili ya Jubilei ya Familia, ambapo Orkestra ya Njia ya Neokatekumenato, inayoendeshwa na Tomáš Hanus, mkurugenzi wa Orkestra ya Kisinfonia