Tangazo kutoka kwa Njia ya Neokatekumenato kutokana na kufariki kwake Papa Fransisko

21 Aprili 2025 Kiko, Padre Mario na Ascensión, wajibikaji duniani wa Njia ya Neokatekumenato, pamoja na Ndugu wote wa Njia wamepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Baba Mtakatifu, Papa wetu Fransisko. Jana, katika ujumbe wake wa Pasaka Urbi et Orbi (maana yake “kwa mji (Roma) na kwa dunia nzima”), ametupatia ushuhuda wake wa mwisho wa imani: “Ndugu wapendwa: Katika Pasaka ya Bwana, kifo na uzima zimekabiliana katika pambano la ajabu,

App ya kitabu cha nyimbo «AMEFUFUKA» inapatikana sasa.

Tunayo furaha ya kutangaza kwamba aplikesheni rasmi ya Kitabu cha Nyimbo “AMEFUFUKA” sasa inapatikana kwa usakinishaji, katika lugha kadhaa, kwenye vifaa vya Android na iOS (Apple): Aplikesheni hii mpya inatoa namna rahisi na inayoweza kufikiwa ili kutafuta na kupata nyimbo zote kutoka kwa “AMEFUFUKA”, iliyo bora kwa waimbaji wa jumuiya na ndugu wengine ambao wangependa kuwa na nyimbo kamili karibu. Ni hapa pekee, ambapo mtaweza kupata matoleo rasmi ya nyimbo zote,

Moyo usiogawanyika, utume na ubikira katika Carmen Hernández

Kimechapishwa kitabu kipya kuhusu Carmen, mwanzilishi mwenza pamoja na Kiko  Argüello wa Njia ya Neokatekumenato, na kinastahili kuzingatiwa nasi. Tunsaema kuhusu kitabu kinachoitwa Corazón Indiviso, misión y virginidad en Carmen Hernández, (“Moyo Usiogawanyika, utume na ubikira katika Carmen Hernández”) iliyoandikwa na Josefina Ramón, mshiriki katika Njia wa Neokatekumenato, na ambaye, kwa kufuata nyayo za Carmen, ni pia mseja na mmisionari msafiri, na kwa kuwa alilishwa na maisha na utajiri wa

Marta Obregón, shahidi wa usafi wa moyo na mfano kwa vijana

Na Javier Lozano Maandishi na picha: Jarida la Misión www.revistamision.com, makala imechapishwa katika toleo la 72. Mtumishi wa Mungu Marta Obregón alikufa akiwa tu na umri wa miaka 22, akitetea hadi mwisho jambo la thamani zaidi alilokuwa nalo: usafi wake. Ushuhuda wa msichana huyu kutoka Burgos, ambaye kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kutangazwa kuwa mwenye heri, unaleta neema kubwa kadhaa, hasa katika ulimwengu huu wa sasa ambao hauupi mwili

Mkutano wa Kardinali Cobo na Njia ya Neokatekumenato

Alasiri ya Mei 26, Jumapili ya Utatu Mtakatifu, mkutano ulifanyika katika Senta ya Neokatekumenato huko “La Pizarra” (El Escorial, Hispania) na Kadinali José Cobo, Askofu Mkuu wa Madrid, na Kikundi cha Wawajibikaji Kimataifa wa Njia ya Neokatekumenato, ambacho kwa sasa kimeundwa na Kiko Argüello – mwanzilishi mwenza wa mkondo huu wa kanisa. pamoja na Mtumishi wa Mungu Carmen Hernández – Padre Mario Pezzi na Ascensión Romero, huku wakisindikizwa na ndugu

Kwa kumbukumbu ya Kardinali Paul Josef Cordes

Wenye shukrani kwa Mungu kwa huduma yake ya thamani katika Kanisa Alfajiri ya leo (tarehe 15 Machi, 2024) Bwana amemwita Kardinali Paul Josef Cordes kwa zawadi ya uzima wa milele. Kanisa zima, na hasa Njia ya Neokatekumenato, linamshukuru sana kwa kazi aliyoifanya kwa miaka mingi ya maisha yake, akisindikiza, kupitia ushauri wake wenye busara, kuzaliwa, kukua na kuingizwa polepole ndani ya Kanisa kwa vyama na mikondo mingi sana ya kikanisa,