Papa anampokea Kiko Argüello, mwanzilishi wa Njia ya Neokatekumenato

Asubuhi ya leo, Jumamosi, tarehe 27 Januari 2024, Papa Fransisko aliwapokea katika hadhira binafsi Kikundi cha Kimataifa cha wajibikaji wa Njia ya Neokatekumenato: mwanzilishi Kiko Argüello, Padre Mario Pezzi na Ascensión Romero. Katika hadhira hiyo, Kikundi walimjulisha Baba Mtakatifu kuhusu Kuishi Pamoja ya Kiulimwengu, ambayo imehitimishwa hivi punde, ikiwa na zaidi ya makatekista wasafiri 1,000, wanaowajibika kwa mataifa 136 ambapo Njia ya Neokatekumenato ipo, na Magombera wa Seminari za Kimisionari

“MASIYA” ya Kiko Argüello

Trieste, Italia – 19 Novemba 2023 – saa mbili usiku. Shairi la kisinfonia linalotolewa kwa ajili ya mashahidi. Jumapili tarehe 19 Novemba, saa mbili usiku, katika Teatro Verdi huko Trieste (Italia) onyesho mashuhuri la kwanza duniani litafanyika. Kipengele cha kwanza ni simfonia yenyewe ya “Masiya”, ambayo inaundwa na sehemu tatu: “Akeda”, “Binti za Yerusalemu” na “Masiya, simba kwa kushinda”. Katika hizi tatu kuna hewa ya kisimfonia ambapo kinanda kinachukua sehemu

Wimbo wa matumaini

Habari za hivi punde: Takwimu rasmi kutoka kwa ulinzi wa raia na polisi wa Lisbon zinathibitisha mahudhuria¡o ya zaidi ya watu 100,000 kwenye mkutano wa miito VIJANA WA NJIA YA NEOKATEKUMENATO WAJAZA MIJI YA ULAYA KWA NYIMBO. Toleo la 37 la Siku ya Vijana Duniani (Lisbon, Agosti 1-6, 2023) lilikuwa na dakika ya mwisho ya furaha ya ajabu katika mkutano wa Vijana zaidi ya elfu sabini na tano wa Njia

Maelfu ya vijana watashiriki katika mkutano wa miito wa Njia ya Neokatekumenato huko Lisbon ndani ya mfumo wa SViD (Siku ya Vijana Duniani).

Jumatatu ijayo, Agosti 7, watakutana kutoka mabara matano pamoja na makardinali na maaskofu mbalimbali Njia ya Neokatekumenato, kama ilivyo desturi katika Siku za Vijana Duniani, itaadhimisha Mkutano wa Miito kwa sababu ya SViD huko Lisbon 2023. Itakuwa Jumatatu ijayo, Agosti 7 4:30 p.m (GMT +1) kwenye Paseo Marítimo ya Algés. Watashiriki zaidi ya vijana 75,000 kutoka sehemu mbalimbali za dunia, watakaokuwa wamemsindikiza Baba Mtakatifu Fransisko katika wiki ya maadhimisho ya

Hatua mpya katika awamu ya Roma ya Mchakato wa Kutangazwa Mwenye heri kwa Marta Obregón

Siku ya Ijumaa, tarehe 5 Mei 2023, katika Idara ya Michakato ya Watakatifu ya Vatikano, kumekuwa na tukio la Ufunguzi wa masanduku ya Maandiko ya mchakato wa kijimbo wa kutangazwa Mwenye heri na Mtakatifu kwa Marta Obregón kwa njia ya kifo cha kishahidi. Limekuwa tukio rahisi lakini lenye adhama, la kupendeza na lenye hisia kubwa. Hatua hii inaashiria endeleo la utafiti wa kina unaotekelezwa katika awamu hii ya pili. Walihudhuria