Jubilei 2025 Mkutano wa Miito
Jumatatu, tarehe 4 Agosti 2025 Mkutano wa Miito pamoja na Kiko, padre Mario na María Ascensión
Jumatatu, tarehe 4 Agosti 2025 Mkutano wa Miito pamoja na Kiko, padre Mario na María Ascensión
Asubuhi ya leo, Jumamosi, tarehe 27 Januari 2024, Papa Fransisko aliwapokea katika hadhira binafsi Kikundi cha Kimataifa cha wajibikaji wa Njia ya Neokatekumenato: mwanzilishi Kiko Argüello, Padre Mario Pezzi na Ascensión Romero. Katika hadhira hiyo, Kikundi walimjulisha Baba Mtakatifu kuhusu Kuishi Pamoja ya Kiulimwengu, ambayo imehitimishwa hivi punde, ikiwa na zaidi ya makatekista wasafiri 1,000, wanaowajibika kwa mataifa 136 ambapo Njia ya Neokatekumenato ipo, na Magombera wa Seminari za Kimisionari
Uteuzi wa Wajumbe wa Idara ya Uinjilishaji. Kitengo cha maswala ya msingi ya uinjilishaji duniani. Papa Fransisko anawakaribisha Kikundi cha Kimataifa cha Njia ya Neokatekumenato tarehe 20 Septemba 2019 Baba Mtakatifu, Papa Fransisko ameteua leo tarehe 25 Aprili 2023 Wajumbe wa Idara ya Uinjilishaji, Kitengo cha Maswali ya Msingi ya Uinjilishaji Duniani, kwa muhula wa miaka 5. Miongoni mwao, pamoja na makardinali kumi kutoka sehemu mbalimbali za dunia, maaskofu wakuu
Maoni juu ya Carmen Hernández kutoka María Ascensión Romero
Kiko Argüello Baba Mpendwa: Asante kwa uwepo wako, asante kwa kukubali kutuma familia hizi katika utume. Tunawasalimu Kardinali Kevin Farrell, Maaskofu wakuu na Maaskofu waliopo, na pia washiriki kutoka Idara ya Walei, Familia na Uhai, ambao wamekubali kushiriki tukio hili pamoja nasi. Baba Mtakatifu, kabla hatujaanza, tunataka kukushirikisha habari ambayo tunajua itakufurahisha: Jimbo kuu la Madrid limetufahamisha kwamba mchakato wa kutangazwa kuwa mwenye heri na wa kuwa mtakatifu wa Carmen
Leo tarehe 27 Juni 2022, wakati wa kuhitimisha Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani, Baba Mtakatifu Fransisko, aliyekaribishwa kwa furaha katika Ukumbi wa Paulo wa Sita kwa wimbo wa Bikira Maria, alituma Familia 430 za Njia ya Neokatekumenato, pamoja na watoto wao, hadi sehemu zilizopoteza zaidi Ukristo wao ulimwenguni ili kuonyesha kwa maisha yao ushuhuda wa upendo wa Mungu kwa walio mbali zaidi. Pamoja na Familia hizi, walikuwepo Kikundi cha