Jubilei 2025 Mkutano wa Miito
Jumatatu, tarehe 4 Agosti 2025 Mkutano wa Miito pamoja na Kiko, padre Mario na María Ascensión
Jumatatu, tarehe 4 Agosti 2025 Mkutano wa Miito pamoja na Kiko, padre Mario na María Ascensión
Na Javier Lozano Maandishi na picha: Jarida la Misión www.revistamision.com, makala imechapishwa katika toleo la 72. Mtumishi wa Mungu Marta Obregón alikufa akiwa tu na umri wa miaka 22, akitetea hadi mwisho jambo la thamani zaidi alilokuwa nalo: usafi wake. Ushuhuda wa msichana huyu kutoka Burgos, ambaye kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kutangazwa kuwa mwenye heri, unaleta neema kubwa kadhaa, hasa katika ulimwengu huu wa sasa ambao hauupi mwili
Alasiri ya Mei 26, Jumapili ya Utatu Mtakatifu, mkutano ulifanyika katika Senta ya Neokatekumenato huko “La Pizarra” (El Escorial, Hispania) na Kadinali José Cobo, Askofu Mkuu wa Madrid, na Kikundi cha Wawajibikaji Kimataifa wa Njia ya Neokatekumenato, ambacho kwa sasa kimeundwa na Kiko Argüello – mwanzilishi mwenza wa mkondo huu wa kanisa. pamoja na Mtumishi wa Mungu Carmen Hernández – Padre Mario Pezzi na Ascensión Romero, huku wakisindikizwa na ndugu
Wenye shukrani kwa Mungu kwa huduma yake ya thamani katika Kanisa Alfajiri ya leo (tarehe 15 Machi, 2024) Bwana amemwita Kardinali Paul Josef Cordes kwa zawadi ya uzima wa milele. Kanisa zima, na hasa Njia ya Neokatekumenato, linamshukuru sana kwa kazi aliyoifanya kwa miaka mingi ya maisha yake, akisindikiza, kupitia ushauri wake wenye busara, kuzaliwa, kukua na kuingizwa polepole ndani ya Kanisa kwa vyama na mikondo mingi sana ya kikanisa,
Trieste, Italia – 19 Novemba 2023 – saa mbili usiku. Shairi la kisinfonia linalotolewa kwa ajili ya mashahidi. Jumapili tarehe 19 Novemba, saa mbili usiku, katika Teatro Verdi huko Trieste (Italia) onyesho mashuhuri la kwanza duniani litafanyika. Kipengele cha kwanza ni simfonia yenyewe ya “Masiya”, ambayo inaundwa na sehemu tatu: “Akeda”, “Binti za Yerusalemu” na “Masiya, simba kwa kushinda”. Katika hizi tatu kuna hewa ya kisimfonia ambapo kinanda kinachukua sehemu
Habari za hivi punde: Takwimu rasmi kutoka kwa ulinzi wa raia na polisi wa Lisbon zinathibitisha mahudhuria¡o ya zaidi ya watu 100,000 kwenye mkutano wa miito VIJANA WA NJIA YA NEOKATEKUMENATO WAJAZA MIJI YA ULAYA KWA NYIMBO. Toleo la 37 la Siku ya Vijana Duniani (Lisbon, Agosti 1-6, 2023) lilikuwa na dakika ya mwisho ya furaha ya ajabu katika mkutano wa Vijana zaidi ya elfu sabini na tano wa Njia
Jumatatu tarehe 7 Agosti 2023 16:30 (GMT +1)