Ushuhuda wa familia ya Njia ya Neokatekumenato katika Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani.

Roma, 22-26 Juni 2022 Kuanzia tarehe 22 hadi 26 Juni, 2022, Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani uliadhimishwa mjini Roma, ukiandaliwa na Idara kwa Walei, Familia na Uhai pamoja na Jimbo la Roma. Wakiwakilisha Njia ya Neokatekumenato zilikuwepo familia kadhaa zilizotumwa na majimbo tofauti: Massimo na Patrizia Palloni, wenye watoto 12 (wasafiri, katika utume huko Uholanzi), Francesco na Sheila Gennarini, wenye watoto 9 (wasafiri, katika utume nchini Marekani), Dino na

Papa kwa familia za Njia ya Neokatekumenato zilizotumwa katika utume

Kiko Argüello Baba Mpendwa: Asante kwa uwepo wako, asante kwa kukubali kutuma familia hizi katika utume. Tunawasalimu Kardinali Kevin Farrell, Maaskofu wakuu na Maaskofu waliopo, na pia washiriki kutoka Idara ya Walei, Familia na Uhai, ambao wamekubali kushiriki tukio hili pamoja nasi. Baba Mtakatifu, kabla hatujaanza, tunataka kukushirikisha habari ambayo tunajua itakufurahisha: Jimbo kuu la Madrid limetufahamisha kwamba mchakato wa kutangazwa kuwa mwenye heri na wa kuwa mtakatifu wa Carmen

Papa anatuma kwenye ututme familia 430 za Njia ya Neokatekumenato

Leo tarehe 27 Juni 2022, wakati wa kuhitimisha Mkutano wa Kumi wa Familia Duniani, Baba Mtakatifu Fransisko, aliyekaribishwa kwa furaha katika Ukumbi wa Paulo wa Sita kwa wimbo wa Bikira Maria, alituma Familia 430 za Njia ya Neokatekumenato, pamoja na watoto wao, hadi sehemu zilizopoteza zaidi Ukristo wao ulimwenguni ili kuonyesha kwa maisha yao ushuhuda wa upendo wa Mungu kwa walio mbali zaidi. Pamoja na Familia hizi, walikuwepo Kikundi cha