Fuentes de Carbonero el Mayor (Segovia – Hispania)

«WAKATI MAWE YANAONGEA TENA» Oktoba 12 iliyopita (2022), sikukuu ya Bikira wa Pilar (Bikira wa Nguzo)- siku ambayo Hispania inaadhimisha kwa taadhima, kutokea kwake Bikira Mama wa Mungu kwa mtume Santiago na wenzake katika mwaka wa 40 BK kwenye nguzo ya marumaru kwenye ukingo wa mto Ebro, ili kuwatia moyo katika kuendelea na uinjilishaji – huko Fuentes de Carbonero el Mayor, kijiji kidogo karibu na Segovia kilichotelekezwa na watu tangu

Hija Farlete (Zaragoza – Hispania)

Kumgundua Charles de Foucauld katika Mapango ya Farlete “Huko nilikaa siku tatu katika pango, pango la Mtakatifu Kaprasi, peke yangu, bila kula, nikimsoma Charles de Foucauld, ambaye alinipa tia namna ya kuishi katika uwepo wa Bwana.” Kiko, katika Kuishi Pamoja ya Mwanzo wa Mwaka 2016-2017 Kabla ya kuanza safari kupitia Ulaya, na kwa kuitayarisha, Padre Aguilar alitaka kumpe-leka Kiko kwenye jangwa la Los Monegros, huko Farlete (mkoa wa Zaragoza), ambapo

Hija Zaragoza (Hispania)

Bikira wa Pilar Mnamo Januari 2, mwaka 40, ukingoni mwa Mto Ebro, Bikira Maria, ambaye bado alikuwa anaishi Palestina, alikuja Zaragoza katika mwili wake halisi ili kumfariji mtume Yakobo, aliyesindikizwa na kikundi kidogo cha waongofu, waliokuwa wamehubiri siku nzima. Maria aliwaachia nguzo ya yaspi ambapo Wakristo wa karne ya kwanza walijenga, kama ukumbusho, kanisa dogo ambalo limepanuliwa na kurekebishwa kwa karne nyingi. Wanasema kwamba Papa (Mtakatifu Yohane Paulo II) alipokuja